Wednesday 22 January 2014

Young Geezy Matatani !!!!!!!!!!!Check this out!!!!!!!!!!!!!!!



weeks baada ya kumake headlines  kwa kukamatwa na polisi kwa kosa la kudaiwa kumtishia maisha mtoto wake wa kiume, the atlanta Rapper young jeezy amejikuta mikononi mwa polisi kwa mara nyingine tena, baada ya kukamatwa tena hapo jana pande za georgia.

Rapper huyo alikamatwa baada ya polisi kurespond kwa alarm ambayo ilikuwa imelia kutoka kwenye nyumba ya girlfriend wake,ambapo Jeezy alikuwepo,  ingawa haijafahamika mara moja nani ambaye alibonyeza alarm hiyo katika kuashiria hali ya harate.
Polisi walipofika eneo la tukio, kuangalia nini kinaendelea ndipo inaposemekana young jeezy hakutoa ushirikiano kwa polisi hao pale alipoanza kuulizwa maswali,  
Taarifa zinasema polisi walipomuuliza jina lake na kumuomba ajitambulishe ma ninja jeezy went nuts, na kuanza kufunguka, " F you , i aint tellin u"
ndipo alipowekwa chini ya ulinzi , mbaya zaidi ni pale alipojaribu kutoroka na pingu zake mikononi, inasemekana kwamba rapper huyo alishikiliwa at fulton county jail.

No comments:

Post a Comment