Diamond alisema kuwa kuna baadhi ya wasanii humpakazia kuwa yeye anawasema wasanii wengine wamuziki wa kizazi kipya hususan kazi zao wakati yeye hajawahi kukaa nakumzungumzia mtu kuhusu muziki anaofanya.
"Kila mtu anahangaikia maisha yake binafsi,tusiiingiliane maisha,mi na hustle kwa staili yangu na kamwe maneno yao hayawezi kunirudisha nyuma",alisema
No comments:
Post a Comment