Tuesday 4 June 2013

MWILI WA MAREHEM NGWEA WATUA JIJINI DAR MAELFU WAJITOKEZA KUMPOKEA


Baada ya siku kadhaa za kuahirishwa kufika kwa mwili wa msanii Ngwea, hatimae leo hii Tanzania imempokea kipenzi chao, katika uwanja wa ndege saa nane za mchana. maelfu wajitokeza wakiongozwa na wasanii wenzake wa bongo fleva. Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi



Aliewahi kuwa manager wake kwa miaka mitatu mfululizo, Tippo, akiwa uwanjani tayari kwa kumpokea Albert Mangwea





1 comment:

  1. May his soul rest in peace Amen!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mungu kampenda Zaidi

    ReplyDelete