Msanii wa
filamu na pia mwana mitindo maarufu hapa nchini Jocate Mwegelo maarufu ‘Kidoti’
amewataka watu kutokufatilia mahusiano yake na Luciano Gadie Tsere ‘Lucci’.
Jocate
amesikitishwa sana na taarifa ambazo amekuwa akizipata tangu atoe wimbo wake wa
kaka dada aliyo mshirikisha Lucci.
“Watu wengi
wana fatilia maisha yangu yakimapenzi kwasasa nawengine kudai kuwa tunamegana
kishkaji,natoka naye ,sitoki naye haiwahusu hata kidogo kwasababu ni maisha
yangu,sio kila kinaoonekana kwenye video ya wimbo ni vitu vya kweli
Yale ni
maigizo, mimi ni msichana na nastahili kuwa na mpenzi ila tusiharibiane majina
kwa maneno machafu”,alisema.
Jocate
amefunguka hayo katika page yake ya twitter pamoja na instagram,napia aliwasihi
watu kutokudanganyika na uzuri wake nakuwa na imani kuwa kila mtu ambaye yuko
nae no mpenzi wake.
No comments:
Post a Comment