Elizabeth Micheal( LULU) : Wasichana wenzangu kuweni makini na
Wanaume mmaochagua katika mahusiano
Msanii
anaitikisa tasnia ya filamu kwasasa hapa nchini,Elizabeth Micheal maarufu ‘Lulu’amewataka
mashabiki kutambua kile wanacho kihitaji katika mapenzi.
Mara nyingi
wasichana wanakuwa wakionewa katika maisha yakimapenzi kutokana na kuwa
hawatambui wanaocho kihitaji katika mapenzi na pia kutokujua haki zao
zakimapenzi.
Akizungumza juz
katika ‘Pillow Talk’ ya Times Fm lulu aliwasihi mashabiki wa kike kuwa makini
na yule anaye mchagua kuwa mpenzi wake na kuto kukubali kupelekeshwa katika
mahusiono ili tu wafikie malengo yao.
“Mimi
kwanzia sasa baada ya kuwa nimeamua kuwa Lulu mpya nitakuwa makini sana pale
ntakapo hitaji tena kuwa na mpenzi,nita hitaji mwanaume atakaenipenda,atakae
kuwa kama kaka yangu,baba yangu na kuwa tayali kunielekeza pale anapoona
nakosea”,alisema Lulu.
No comments:
Post a Comment