Juzi usiku wakati washiriki wa BBA walipokuwa wakifanya zoezi la "speed
dating", walielekea eneo la garden na kukuta meza zenye mishumaa, ambapo
pembeni ya meza kulikuwa na hearts 7 zikiashiria wasichana wanapotakiwa
kukaa, wakati upande wa pili yake kulikuwa na maua rose 7 yakiashiria
wanaume wanapotakiwa kukaa.
wakati
wa date yake (Huddah) fupi na mshiriki kutoka Uganda (Denzel), Huda
alifunguka kuwa anataka mwanaume mwenye pesa na kusema kuwa yeye ni
"gold digger", baada ya jamaa kumuuliza maswali mengine juu ya jilo, kwa
haraka alibadili tamko lake na kudai kuwa alikua anatania
wakati huo huo, kila mmoja alipata nafasi ya dakika mbili kudate na mwingine
No comments:
Post a Comment