
Chibwa alisema”kwasasa muziki wa ragger dance hall unaeleweka vizuri sana, unajua mwanzoni watanzania walikuwa wenaegemea upande flani hivi,but now wameupokea vizuri maana mpaka wanafikia hatua ya kunifananisha na watu tofauti wa nje ya inchi.So kwangu ni hatua kubwa sana,hivyo ntaendelea kuwaburudisha kwa ngoma kali tu.
No comments:
Post a Comment