Sunday 26 May 2013

DITTO:MZIKI SIO LAZIMA USHIRIKI KUIMBA

Msanii kutoka House of talent {THT}Diito ,alisema”muziki so lazima mtu ushiriki kwa kuimba ,ila unaweza kushiriki kwa namna yoyote ile,aliyasema hayo katika mahijiano na tizniz.com.
Alisema”kwa mfano mimi sauti yangu haikusikika katika nyimbo ya Moro All starz,ambayo ilishirikisha watu kama Afande sele,Mc koba,Dayana,Stamina,na wengine wengi,ila nilishiriki katika ushauri na vitu vingine kwani ratiba yangu ilikuwa ngumu sana.

No comments:

Post a Comment