DOGO ASLAY AELEZA SABABU ZILIPELEKEA YEYE KUNUNUA GITAA NA KINANDA
Dogo Aslay alilieleza papaso la burudani kuwa Vifaa hivyo vitaweza kumsogeza na kuhakikisha kazi zake zinafanyika kiundani zaidi kutokana na nia yake yakuwa msanii bora nasio bora msanii!
No comments:
Post a Comment