Friday 28 February 2014

DOGO ASLAY AELEZA SABABU ZILIPELEKEA YEYE KUNUNUA GITAA NA KINANDA


Dogo Aslay alilieleza papaso la burudani kuwa Vifaa hivyo vitaweza kumsogeza na kuhakikisha kazi zake zinafanyika kiundani zaidi kutokana na nia yake yakuwa msanii bora nasio bora msanii!

No comments:

Post a Comment