Saturday, 31 August 2013

NAY WA MITEGO AMEWATA WASANII WAJITUME NA KUJIAMINI KATIKA KAZI YA SANAA WALIO CHAGUA

Msanii wa muziki wa hip hop hapa nchini,Emmanuel Munisi amewataka wasanii wajitume na kujitolea katika kazi ya sanaa walio chagua,pia aliwaomba mashabiki pamoja na wasanii wenyewe kuelewa nini maana ya muziki wanaofanya ama kuupenda ili kuepusha mizozo inayo jitokeza mara kwa mara

No comments:

Post a Comment