Balozi wa Tanzania nchini South Africa, Radhia Msuya,baada ya kutangaza
sababu zinazochelewesha kufika kwa mwili wa marehem Albert Mangwea,
ametoa rambi rambi juzi alipofika mahali msiba ulipo, maeneo ya Mbezi
Goig jijini Dar-salaam.
Mh Radhia amesema ni taratibu za kiserikali tu zinazokwamisha kufika kwa
mwili huo, lakinileo mchana ama jioni ataweza kusafirishwa,
No comments:
Post a Comment