Tetesi zinaweza kuwa za ukweli au pengine zikawa ni story za kujitungia
Lakini tetesi
zinasema kuwa Matonya alipigiwa simu na wazee wa fitna mara tu
waliposkia kuwa atashiriki onyesho la miaka 13 ya JayDee, wakamwambia
aachane na hiyo show na kuwa watampa hela ambayo angelipwa kwenye show
hiyo.
No comments:
Post a Comment