Tuesday, 7 May 2013

PINA ATOA SABABU ZA KUMPIGA CHIDI BENZ


"Ukweli ni mambo ya fedheha, mdogo wetu Chidi Benz, nnacho weza kusema mdogo wetu ni kwamba unga anaovuta sasa hivi unampeleka pabaya umeona eeh, tena mimi kama kaka yake namshauri aachane na matumizi ya madawa ya kulevya kwasababu mwisho wake utampeleka pabaya, mimi niko back stage nna show yangu nipo kazini, tupo seious watu wa hiphop, miaka mingi tulikuwa tuna...Read More

No comments:

Post a Comment