"Ukweli ni mambo ya fedheha, mdogo wetu Chidi Benz, nnacho weza kusema
mdogo wetu ni kwamba unga anaovuta sasa hivi unampeleka pabaya umeona
eeh, tena mimi kama kaka yake namshauri aachane na matumizi ya madawa ya
kulevya kwasababu mwisho wake utampeleka pabaya, mimi niko back stage
nna show yangu nipo kazini, tupo seious watu wa hiphop, miaka mingi
tulikuwa tuna...Read More
No comments:
Post a Comment