Tuesday, 7 May 2013

CHRIS BROWN ATHIBITISHA KUACHANA NA RIHANNA


It’s official. Riri na Chris Breezy hawako pamoja tena au kwa sasa hawako pamoja. wapenzi hao wazamani, wameonekana wakitumia weekend zao kwa umbali wa maili 300 weekend iliyopita, huku Chris akila bata Vegas kwa ajili ya siku yake ya kuzaliwa, huku Rihanna akitumia siku ya jumamosi akiwa Barclays Center kwenye game kati ya Nets na Bulls  kwa mda sasa Riri na Breezy...Read More

No comments:

Post a Comment