
Katika kuzindua msimu mpya wa radio ya Clouds, ambao umefanyika ndani ya
mji mkuu Dodoma, kwa siku tatu mfululizo, Clouds waliandaa semina kwa
ajili ya kuwasaidia vijana, katika uelewa wa fursa zinazotuzunguka na
kujituma kuhakikisha tunatumia fursa hizo kwa maendeleo yetu na taifa
kwa ujumla.
Semina hiyo alifanyika katika ukumbi wa African dream hotel na
kujumuisha vijana wa rika mbali mbali...
Read More
No comments:
Post a Comment