Saturday, 27 April 2013

LOVE ME IKO HEWANI,,,,,KWANZIA LEO

Msanii wa hip hop izo b amefanya ngoma mpya inayokwenda kwa jina la love me ambayo amefanya na mkali wa masauti kutoka tht barnaba elias (barnaba)nyimbo hiyo inatarajiwa kuzinduliwa jumamosi hii love ni ngoma ambayo ni nzuri na yenye mashairi ya ukweli kuwatayari kuipata na kuisikiliza IZO B NA BARNABA NDANI YA LOVE ME

No comments:

Post a Comment