Msanii Lameck Philipo ali maarufu kama bonge la nyau baada ya ngoma yake inayo tamba kama walagai sasa afunguka kuusu ngoma zake tatu ambazo zinatarajia kutoka kati ya mwishoni mwa mwezi huu na mwezi wa tano mwanzoni
Ngoma izi zitatambulika kwa majina ya Anapenda raha, Homa ya mapenzi na Nzobenense ambapo Homa ya mapenzi atafanya na mtu mzima Ommy Dimpoz .Ngoma zote izi zinafanyika chini ya Sharobaro Records na mtu mzima Bob Junior.Napia kati ya hizo ngoma tatu moja itakua official pamoja na video papohapo.
Kaa mkao wa kula maaana anakimbiza kweeeeeeeli hao panyaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
..
Ngoma izi zitatambulika kwa majina ya Anapenda raha, Homa ya mapenzi na Nzobenense ambapo Homa ya mapenzi atafanya na mtu mzima Ommy Dimpoz .Ngoma zote izi zinafanyika chini ya Sharobaro Records na mtu mzima Bob Junior.Napia kati ya hizo ngoma tatu moja itakua official pamoja na video papohapo.
Kaa mkao wa kula maaana anakimbiza kweeeeeeeli hao panyaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
..
No comments:
Post a Comment