Saturday, 15 June 2013

MAZISHI YA LANGA ,:JUMATATU IJAYO::::::::::::::!!!!!!!!!!!MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI

Imefahamika kuwa marehemu Langa Kileo aliye kuwa Rapper kwenye familia ya bongofleva atazikwa jumatatu juni 17,2013 kwenye makaburi ya kinondoni jijini Dar es salaam.

Baba mdogo wa marehemu amesema "Dokta wa Muhimbili aliye kuwa ana mtibu Langa mpaka dakika ya mwisho ametuambia Langa amefariki kutokana na Malaria ,Alikuwa na Malaria point 7 na mwisho wake ika badilika na kupanda kichwani.

Mama yake marehemu Langa alikuwa amekwenda  Marekani kwa shughuli zake na anatarajia kurudi muda wowote kutoka sasa alisema Baba mdogo wa Marehemu Langa Kileo.

No comments:

Post a Comment