Thursday 6 June 2013

  DAR ES SALAAM YATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA MAREHEM ALBERT MANGWEA(haya yote yalifanyika jana katika viwanja vya leaders club)

  Jana  ndani ya viwanja vya Leaders, maelfu ya watanzania walijitokeza kuaga mwili wa Rapper Albert Mangweha a.k.a Ngwea, tayari kwa ajili ya safari yake kuelekea Morogoro ambapo atalazwa katika nyumba yake ya milele.Maelfu ya watu walianza kujitokeza na kuuaga mwili huo muanzia mida ya saa mbili za asubuhi, na kukamilika saa sita za mchana.



















umati wa watu uliofurika katka viwanja vya leaders asubuhi ya leo katika kuuaga mwili wa kipenzi chetu Albert Mangwea









gari liliobeba mwili wa marehem Albert, likiwa tayari kwa ajili ya kuelekea morogoro, ambapo ataagwa tena na wakazi wa Morogoro kuanzia saa nne asbuhi mpaka saa sita mchana, ambapo safari yake ya mwisho kuelekea makaburini itakua imefika. Mungu ailaze roho ya marehem Albert Mangwea mahali pema peponi.

1 comment: