Tuesday, 7 May 2013

NEY AKANUSHA ALICHOKIANDIKA CHIDI BENZ KUWA ALIFANYIWA FUJO KWENYE SHOW MBAGALA


"aaa ukweli ni kwamba sijui anachokitengeneza yeye, mimi ndio nimefunga show mbagala, hakuna kitu kama hicho kilichotokea,unajua mi nilikua nimerusha flana niliyokuwa nimevaa, watu walikuwa hataki niimbe nikiwa na flana, so baada ya kuirusha ile flana ndio watu wakaanza kusukumana huku na kule, umati ulikuwa mkubwa, aah ikabidi wakadondokea ile mashine ambayo ilikua inapiga mziki pale, nafkiri show ndio ikaishia...Read More

No comments:

Post a Comment