Wednesday, 22 May 2013

IZZO B KUFANYA SHOW NDANI YA MBEYA


Siku ya tarehe 31 ndani ya Mbeya City alikotoka Rapper Izzo b patawaka moto, moto utawaka ndani ya Club Vibe, ikiwa ni mara yake ya kwanza kufanya show yake yeye kama yeye, kwa kiingilio cha buku 7 tu huku akisindikizwa na wasanii wa pale pale Mbeya na Rapper kutoka Morogoro Stamina.watu wa Mbeya hii ni time yenu kumpa sapoti mtu wenu anaeikubaili Mbeya

No comments:

Post a Comment